Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
katika Picha Roli lililobeba pamba za wakulima tayari kwenda kuuzwa
Naibu Waziri Mpina akingalia ubora wa Pamba ya wakulima katika kijiji cha Mwabusalu leo
Naibu
Waziri Mpina akipima furushi la Pamba katika Mzani Maalum kabla ya
kuongea na baadhi ya wakulima wa Pamba katika kijiji cha Mwabusalu
jimboni kisesa leo.
Baadhi
ya wakulima wa Pamba wakimsikiliza Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na Mazingira (hayupo pichani) alipokuwa akingumzanao katika
kijiji cha Mwabusalu mapema leo.
Picha
ya pamoja ya Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
ambaye pia ni Mbunge wa Kisesa na baadhi ya wakulima wa zao la Pamba
kijijini Mwabusalu, Meatu Mkoani Simiyu leo.
0 comments:
Post a Comment